JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MSULUHISHI WA MIGOGORO YA BIMA

TIRA Logo
Karibu Naibu Kamishna ndani ya Banda la TIO
10 Jul, 2025
Karibu Naibu Kamishna ndani ya Banda la TIO

Naibu Kamishna wa Bima Bi. Hadija Said alitembelea banda la Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima (TIO) tarehe 8 Julai 2025 na kuelezwa vipaumbele mbalimbali vya taasisi hiyo katika utoaji elimu ya saba saba. 

TIRA KWA SOKO SALAMA LA BIMA